null

(Siwahili)Fiqhi Ya ‘Ibada Yenye Picha Zilizochorwa

Al Homaidhi P Press
No reviews yet Write a Review
£24.95
SKU:
23660
UPC:
9786030126088
Shipping:
Calculated at Checkout
Author:
Dr. Abdullah Bahmmam
Binding:
hard cover
Pages:
266
Size cm:
21x28
Publisher:
Al Homaidhi P Press
Weight:
1000 g
In Stock & Ready To Ship!
Availability: Usually ships in 24 hours excluding weekends
Current Stock:Only left:

Frequently Bought Together:

Total: Inc. VAT
Total: Ex. VAT

Description

(Siwahili)Fiqhi Ya ‘Ibada Yenye Picha Zilizochorwa

Mradi mkubwa wa fiqhi iliyochorwa ambao kila nyumba ya Muislamu haitakiwi kuikosa. -Mfumo kamili wa kujifundisha Fiqhi ya 'Ibada kwa watu na duru ya wanawake, taasisi za kheri na vyuo vya elimu. -Inasimamia katika kuwaunganisha watu kwa kitabu na Sunna kwa njia nyepesi na yenye picha. -Hukumu za ibada zinawepesishwa kwa Waislamu kwa njia ya elimu kwa kutumia njia za kisasa. -Elimu hutegemea uoni kama ilivyo kauli yake Mtume "Swalini kama mlivyoniona nikiswali" -Kila somo lina picha zake za kuielezea, mbali na picha za video. -Mfasiri wa lugha 14 mbali mbali, zinazozungumzwa na watu bilioni tano ulimwenguni. -Insaiklopidia ya Fiqhi imeambatanishwa (Zaidi ya video 50 na makumi ya vitabu na sauti zilizoingizwa)

</div

Product Reviews

No reviews yet Write a Review

Delivery & Returns