Al Homaidhi P Press
(Siwahili)Fiqhi Ya ‘Ibada Yenye Picha Zilizochorwa
- SKU:
- 23660
- ISBN:
- 9786030126088
- Availability:
- Usually ships in 24 hours excluding weekends
- Shipping:
- Calculated at Checkout
- Author:
- Dr. Abdullah Bahmmam
- Binding:
- hard cover
- Pages:
- 266
- Size cm:
- 21x28
- Publisher:
- Al Homaidhi P Press
- Weight:
- 1000 g
Frequently bought together:
Description
(Siwahili)Fiqhi Ya ‘Ibada Yenye Picha Zilizochorwa
Mradi mkubwa wa fiqhi iliyochorwa ambao kila nyumba ya Muislamu haitakiwi kuikosa. -Mfumo kamili wa kujifundisha Fiqhi ya 'Ibada kwa watu na duru ya wanawake, taasisi za kheri na vyuo vya elimu. -Inasimamia katika kuwaunganisha watu kwa kitabu na Sunna kwa njia nyepesi na yenye picha. -Hukumu za ibada zinawepesishwa kwa Waislamu kwa njia ya elimu kwa kutumia njia za kisasa. -Elimu hutegemea uoni kama ilivyo kauli yake Mtume "Swalini kama mlivyoniona nikiswali" -Kila somo lina picha zake za kuielezea, mbali na picha za video. -Mfasiri wa lugha 14 mbali mbali, zinazozungumzwa na watu bilioni tano ulimwenguni. -Insaiklopidia ya Fiqhi imeambatanishwa (Zaidi ya video 50 na makumi ya vitabu na sauti zilizoingizwa)
</div